Azizi Ki Atema Cheche
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki kwa msimu huu ameanza na moto, kiasi cha kuwapa raha mashabiki wa klabu hiyo, lakini mwenyewe amefichua zinazombeba huku akiweka bayana namna alivyojipanga kuendelea na kasi aliyoanza nayo arejeshe fadhila Jangwani
Recommend Video:
Tazama Video: WATCH NOW
.“Msimu uliopita sikuwa bora nilipambana, lakini sikufikia lengo la mashabiki na viongozi nimejitafakari na nimeweza kujitafuta na kujipata mwanzo wangu umekuwa bora natamani kumaliza vizuri zaidi ili kukata kiu ya wanayanga walioniamini na kunisajili,” alisema.
.
“Ubora nilionao unatokana na namna timu ilivyosajiliwa sio rahisi kukaa kujisahau wakati kuna wachezaji wazuri kwenye namba ninayocheza napambana kuhakikisha nakuwa bora na naipambania timu kutetea mataji yaliyobaki.”
Be sure to be back again for more updates! August 26, 2023 at 01:47AM