Beki wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ametua DR Congo na jana alitarajiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea Lubumbashi Sport, akiungana na George Mpole anayecheza nchini humo kwenye klabu ya FC Lupopo.
RECOMMENDED FOR YOU: VIDEO
Tazama Video: WATCH NOWKwa mujibu wa taarifa kutoka DR Congo, beki huyo tayari alishatua nchini humo tangu Jumatano na juzi alitembezwa kuonyeshwa mandhari ya klabu hiyo kabla ya jana kutakiwa kusaini mkataba wa kuichezea timu hiyo iliyopo katika Ligi Kuu ya Dr Congo maarufu Linafoot.
Be sure to be back again for more updates! August 26, 2023 at 03:12AM