Usajili Yanga | Usajili mpya Yanga 2023/2024

 


usajili yanga 2023/24


Hawa hapa ndio wachezaji waliosajiliwa yanga mpaka sasa:


1. Nickson Kibabage:

Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili beki wa kushoto Nickson Kibabage kutoka Singida Big Stars. Kibabage anamudu kucheza kama beki wa kushoto na winga wa kushoto.


Kibabage ambaye amewahi kuvichezea vilabu vya Mtibwa Sugar, Njombe Mji, Difaâ El Jadida ya Morocco na KMC FC amesaini mkataba wa miaka miwili.


Tetesi Zilizopo;


2. Gift Fredi

Beki mkata umeme, Gift Fred Anaweza kutangazwa Young Africans Sports Club muda wowote 


Beki huyo anakuja kuchukua nafasi ya Mamadou Doumbia 


Gift Fred huyu ndiye aliyekua beki bora msimu huu Uganda 2022-2023. 





Be sure to be back again for more updates! July 11, 2023 at 04:40AM
Next Post Previous Post
No Comment
Add Comment
comment url