Rasmi klabu ya Simba SC Yamuuza Pape Sakho Kwa Mabilioni ya Hela
BREAKING
Kama Tulivyowajuza hapo awali,
Rasmi klabu ya Simba SC imetangaza kuwa imefikia makubaliano na klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumnunua mchezaji wake Pape Sakho.
Taarifa za awali zinasema kuwa Uongozi wa klabu ya Union Sportive Quevillaise-Rouen Metropol inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Ufaransa 🇫🇷 umethibitisha kukamilisha rasmi uhamisho wa winga Pape Sakho kutoka Simba kwa ada ya Euro 750,000 (TSh 2 bilioni).
#NguvuMoja
Be sure to be back again for more updates! July 24, 2023 at 01:51AM